Jana ulikuwa usiku wa Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013, ambapo ugawaji wa Tuzo hizo ulifanyika pale Mlimani City sambamba na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali.
Waliofanya Vizuri kwenye Tuzo hizo ni Kala Jeremiah na Ommy Dimpoz ambao kila mmoja alijinyakulia Tuzo tatu. Hosts wa tuzo hizo walikuwa ni Zembwela na TJ. Angalia list nzima ya tuzo hizo hapa:
Waliofanya Vizuri kwenye Tuzo hizo ni Kala Jeremiah na Ommy Dimpoz ambao kila mmoja alijinyakulia Tuzo tatu. Hosts wa tuzo hizo walikuwa ni Zembwela na TJ. Angalia list nzima ya tuzo hizo hapa:






